Ijumaa, 26 Januari 2018

Christian Movie Video Swahili “Maskani Yangu Yako Wapi” | Mungu ni Kimbilio la Nafsi Yangu

Christian Movie Video Swahili “Maskani Yangu Yako Wapi” | Mungu  ni Kimbilio la Nafsi Yangu


Wazazi wa Wenya walitengana alipokuwa na umri wa miaka miwili, na baada ya hapo aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mamake wa kambo hakuweza kumvumilia na daima alikuwa akibishana na baba yake. Alikuwa na chaguo dogo — alilazimika kumpeleka Wenya nyumbani kwa mama yake, lakini mama yake alilenga kikamilifu kuendesha biashara yake na hakuwa na muda wa kumtunza Wenya, hivyo mara nyingi alipelekwa nyumbani kwa jamaa na marafiki zake kupata ulezi.

Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu
Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa | Umeme wa Mashariki

Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa | Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Wengine Je, mna uzoefu wowote wa kuwa waaminifu? (Ni vigumu kuwa mwaminifu). Na mbona ni vigumu? (Ninapotafakari juu yangu kila siku, nagundua kuwa najua vyema kujifanya, na kwamba nimesema mengi ambayo si sahihi. Wakati mwingine, maneneo yangu yatakuwa na hisia na motisha, wakati mwingine, nitaunda ujanja fulani ili kutimiza malengo yangu, nikisema ukweli nusu ambao haulingani na mambo ya hakika;

Alhamisi, 25 Januari 2018

Ukweli Wafichuliwa Kuhusu Kesi ya Zhaoyuan ya Mei 28 – CCP Ilikuwa Mwelekezi wa Siri wa Tendo Zima

Ukweli Wafichuliwa Kuhusu Kesi ya Zhaoyuan ya Mei 28 – CCP Ilikuwa Mwelekezi wa Siri wa Tendo Zima


Katika mwaka wa 2014, CCP ilibuni bila msingi maalum Tukio la Zhaoyuan lenye sifa mbaya la mnamo 5/28 katika jimbo la Shandong ili kutunga msingi wa maoni ya umma kwa ajili ya ukomeshaji kamili wa makanisa ya nyumba, na ikaeneza uwongo duniani kulaani na kuliharibia jina Kanisa la Mwenyezi Mungu.

Jumatano, 24 Januari 2018

Sura ya 58. Upendo wa Kweli wa Mungu kwa Wanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu
Sura ya 58. Upendo wa Kweli wa Mungu kwa Wanadamu

Sura ya 58. Upendo wa Kweli wa Mungu kwa Wanadamu


Mwenyezi Mungu alisema, Katika kukifahamu kiini cha Kristo, kipengele kimoja ni kuwa na uwezo wa kutofautisha kati ya kupata mwili Kwake na binadamu; aidha, watu ambao wanafahamu kiini cha Kristo wana uwezo zaidi kuwa hakika kuhusu Mungu kuwa mwili na uwezo zaidi wa kuamini kuwa Yeye kweli Yupo, kuwa Yeye si nabii, mtume, wala mwenye kufunua, na hasa si mtu mdogo aliyetumwa hapa na Mungu;

Jumanne, 23 Januari 2018

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu” Wewe ni Bwana wa Maisha Yangu


Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu” Wewe ni Bwana wa Maisha Yangu

Mwenyezi Mungu alisema, “Ukuu na nguvu ya uhai wa Mungu hauwezi kueleweka na kiumbe chochote. Hii ilikuwa hivyo awali, iko hivyo wakati huu, na itakuwa hivyo wakati ujao. Siri ya pili Nitakayotoa ni hii: chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo.

Sura ya 51. Je Unajua Ukweli Hakika Ni Nini?

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, ukweli
Sura ya 51. Je Unajua Ukweli Hakika Ni Nini?

Sura ya 51. Je Unajua Ukweli Hakika Ni Nini?


Mwenyezi Mungu alisema, Ninyi nyote mara nyingi mmepata uzoefu wa hali ya kuwa katika mkutano, na kuhisi kana kwamba huna chochote cha kuhubiri kuhusu—hatimaye unajilazimisha na unasema kitu cha juu juu. Unajua vizuri kuwa maneno haya ya juu juu ni kanuni, lakini unahubiri kuyahusu hata hivyo, na mwishowe unahisi kuwa huna shauku, na watu chini yako wanasikiliza na wanahisi kuwa yanachosha sana—je hilo halijafanyika?

Jumatatu, 22 Januari 2018

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (4) | Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu
Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (4) | Umeme wa Mashariki

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (4)Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Kukamilishwa kuna maana gani? kushindwa kuna maana gani? Ni vigezo vipi mtu anapaswa kuwa navyo ili apate kushindwa? Na ni vigezo vipi mtu anapaswa kuwa navyo ili afanywe mkamilifu? Kushinda na kukamilisha yote yanakusudiwa kumfanyia kazi mwanadamu ili aweze kurudi katika asili yake na awe huru na tabia zake potovu za shetani na ushawishi wa Shetani.