Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kuja kwa mara ya pili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kuja kwa mara ya pili. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 23 Januari 2018

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu” Wewe ni Bwana wa Maisha Yangu


Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu” Wewe ni Bwana wa Maisha Yangu

Mwenyezi Mungu alisema, “Ukuu na nguvu ya uhai wa Mungu hauwezi kueleweka na kiumbe chochote. Hii ilikuwa hivyo awali, iko hivyo wakati huu, na itakuwa hivyo wakati ujao. Siri ya pili Nitakayotoa ni hii: chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo.