Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa la Mwenyezi Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa la Mwenyezi Mungu. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 13 Julai 2018

6. Moto Ulioshtua Taifa katika Wilaya ya Ji, Mji wa Tianjin

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu, Umeme wa Mashariki


6. Moto Ulioshtua Taifa katika Wilaya ya Ji, Mji wa Tianjin

Chen Yao, Tianjin
Jengo la Laide lilikuwa mojawapo ya vituo vikubwa zaidi vya ununuzi katika wilaya ya Ji. Juni 30, mwaka wa 2012 ilikuwa ni Jumamosi, na Laide lilikuwa na ukuzaji wa bidhaa, hivyo kulikuwa na idadi kubwa ya wateja. Wakati fulani baada ya saa tisa alasiri hiyo, jengo likashika moto ghafla. Mkuu wa jengo, akiogopa kuwa wateja katika machafuko haya wangechukua vitu au kutolipa, alifunga na kuweka vizuizi kwa lango kuu kwenye ghorofa ya kwanza, na kuwafukuza wateja hadi ghorofa ya pili na ya tatu.

Jumatatu, 23 Oktoba 2017

Ni Wale tu Wanaomjua Mungu na Kazi Yake ndio Wanaoweza Kumridhisha Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ni Wale tu Wanaomjua Mungu na Kazi Yake ndio Wanaoweza Kumridhisha Mungu


Kazi ya Mungu mwenye mwili inajumuisha sehemu mbili. Mara ya kwanza Alipofanyika kuwa mwili, watu hawakumwamini au kumfahamu na wakamsulubisha Yesu msalabani. Mara ya pili, pia, watu pia hawakuamini ndani Yake, wala kumfahamu, na kwa mara nyingine wakamsulubisha Kristo msalabani. Je,  mwanadamu si adui wa Mungu? Kama mwanadamu hamjui Yeye, mwanadamu anawezaje kuwa mwandani wa Mungu? Na anawezaje kuwa na sifa za kumshuhudia Mungu?

Jumatano, 18 Oktoba 2017

Sura ya 29. Mtu Lazima Ajue Jinsi Ambayo Mungu Hufanya Kazi

Kazi ya Mungu, iwe ni kwa mwili au kwa Roho, yote inafanywa kulingana na mpango wa usimamizi. Kazi Yake haifanywi kulingana na kama ni ya umma au ya kibinafsi, au kulingana na mahitaji ya mwanadamu—inafanywa kikamilifu kulingana na mpango wa usimamizi.

Jumapili, 15 Oktoba 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 34. Umuhimu na Mazoezi ya Sala

Mwenyezi Mungu, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maombi
Je, mnaomba vipi kwa sasa? Ni maendeleo kwa sala za kidini jinsi gani? Mnaelewa nini hasa kuhusu umuhimu wa sala? Je mmechunguza maswali haya? Kila mtu ambaye hafanyi sala ako mbali na Mungu, kila mtu ambaye hasali anafuata mapenzi yake; Kukosekana kwa sala kunaashiria kwenda mbali na Mungu na usaliti wa Mungu. Ni nini uzoefu wenu hasa na sala? Sasa hivi, kazi ya Mungu tayari inakaribia mwisho na uhusiano kati ya Mungu na mwanadamu unaweza kuonekana kutoka kwa maombi ya mwanadamu.

Alhamisi, 21 Septemba 2017

Umeme wa Mashariki | 3. Asili na Maendeleo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Asili na Maendeleo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu


Katika Enzi ya Neema, Bwana Yesu aliwaahidi wafuasi wake, “Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.” (Yohana 14:3) Kadhalika Alitabiri, “Kwa maana kama umeme utokavyo mashariki, na kumulika hata magharibi; hivyo ndivyo ujio wake Mwana wa Adamu utakavyokuwa.

Jumamosi, 26 Agosti 2017

Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

  • 🎼🎵Sikiliza nyimbo:https://sw.godfootsteps.org/the-happiness-in-the-good-land-of-canaan.html
  • I
  • Nimerudi kwa familia ya Mungu,
  • mchangamfu na mwenye furaha.
  • Mikono yangu imemshika mpendwa wangu,
  • moyo wangu ni miliki Yake.
  • Japo nimepitia Bonde la Machozi,
  • nimeyaona mapenzi ya Mungu.
  • Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku,
  • Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
  • Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu,
  • moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.
  • Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha,
  • nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
  • Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu,
  • nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
  • Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha,
  • nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
  • II
  • Katika nchi hii iliyobarikiwa ya Kanaani,
  • yote ni mabichi, yote ni mapya,
  • yakifurika na nafsi ya uhai ya maisha.
  • Maji ya uzima hutiririka kutoka kwa Mungu wa vitendo,
  • hunifanya niruzukike na maisha.
  • Naweza kufurahia baraka kutoka mbinguni,
  • hakuna tena kutafuta, kuchakura, kuwa na uchu.
  • Nimewasili katika nchi iliyobarikiwa ya Kanaani,
  • furaha yangu haina kifani!
  • Upendo wangu kwa Mungu huniletea nguvu isiyoisha.
  • Sauti za kusifu hupaa juu mbinguni,
  • zikimwambia upendo wangu wa ndani.
  • Ni haiba ilioje mpendwa wangu aliyo nayo!
  • Uzuri Wake huiteka roho yangu.
  • Manukato ya mpendwa wangu
  • hunifanya nione ugumu wa kumwacha.
  • III
  • Nyota mbinguni zatabasamu kwangu,
  • jua lanikubali kutoka juu.
  • Pamoja na mwanga wa jua, na mvua na umande,
  • tunda la uzima hukua kwa uthabiti na ubivu.
  • Maneno ya Mungu, mengi na ya fahari,
  • hutuletea sikukuu tamu.
  • Riziki nzima na ya kutosha ya Mungu hutufanya tutosheke.
  • Nchi ya Kanaani, ulimwengu wa maneno ya Mungu;
  • upendo Wake hutuletea furaha isiyokoma.
  • Nchi ya Kanaani, ulimwengu wa maneno ya Mungu;
  • upendo Wake hutuletea furaha isiyokoma.
  • Harufu nzuri ya matunda hujaa hewani.
  • Ukikaa hapa kwa siku chache,
  • utapapenda kuliko chochote kingine.
  • Hakuna wakati utataka kuondoka.
  • IV
  • Mwezi wa fedha hunurisha mwanga wake.
  • Mzuri na mchangamfu, ni maisha yangu.
  • Uliye mpendwa moyoni mwangu,
  • uzuri Wako umepita maneno yote.
  • Moyo wangu u katika mapenzi matamu Nawe,
  • siwezi kujizuia kuruka kwa furaha.
  • Daima Uko moyoni mwangu,
  • nitakuwa nawe maisha yangu yote.
  • Moyo wangu hukutamani Wewe daima;
  • kukupenda Wewe hufurahisha moyo wangu kila siku.
  • Ee mpenzi moyoni mwangu!
  • Nimekupa mapenzi yangu yote.
  • Moyo wangu hukutamani Wewe daima;
  • kukupenda Wewe hufurahisha moyo wangu kila siku.
  • Ee mpenzi moyoni mwangu!
  • Nimekupa mapenzi yangu yote.
  •  
  • kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Ijumaa, 25 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Je, Wewe ni Muumini wa Kweli wa Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Je, Wewe ni Muumini wa Kweli wa Mungu?


Huenda ikawa safari yako ya imani katika Mungu imekuwa ndefu zaidi ya mwaka mmoja au miwili, na labda kwa maisha yako umestahimili ugumu mwingi miaka hii yote; au labda haujapitia ugumu na badala yake umepokea neema nyingi. Kuna uwezekano pia kuwa hujapitia ugumu wala kupokea neema, na badala yake umeishi maisha ya kawaida tu. Hiyo haijalishi, kwani wewe bado u mfuasi wa Mungu, kwa hivyo tushirikiane kuhusu mada ya kumfuata Mungu. 

Jumapili, 20 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili Ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu, Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili Ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni


Mimi hueneza kazi Yangu katika mataifa. Katika ulimwengu mzima unang’aa utukufu Wangu; mapenzi Yangu yamo katika mtawanyiko wa wanadamu, wote wakiongozwa kwa mkono Wangu na kufanya kazi Ninayosambaza. Kuanzia sasa, Ninaingia enzi mpya na kuleta watu wote katika ulimwengu mwingine. Ninaporudi katika "nchi Yangu," Ninaanza sehemu nyingine ya kazi katika mpango Wangu wa awali ili mwanadamu aje kujua zaidi kunihusu.

Jumamosi, 19 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mwanadamu Anaweza Kuokolewa Tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu


Kila mtu anahisi kuwa usimamizi wa Mungu ni wa ajabu, kwa sababu watu wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu hauna uhusiano wowote na mwanadamu. Wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu ni kazi ya Mungu pekee, shughuli za Mungu, na hivyo wanadamu hawajali kuhusu usimamizi wa Mungu. Kwa njia hii, kuokolewa kwa wanadamu kumekuwa kusiko yakini na kusiko dhahiri, na kumebaki tu maneno matupu.

Alhamisi, 17 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote


Kama washiriki wa jamii ya binadamu na Wakristo wamchao Mungu, ni jukumu na wajibu wetu wote kutoa akili na mwili wetu kwa kutimiza agizo la Mungu, kwani uhai wetu wote ulitoka kwa Mungu, na upo kwa sababu ya ukuu wa Mungu. Kama akili zetu na miili yetu si kwa ajili ya agizo la Mungu na si kwa sababu ya haki ya mwanadamu, basi nafsi zetu hazina thamani kwa wale waliokufa kishahidi kwa ajili ya agizo kwa Mungu, na thamani ndogo zaidi kwa Mungu, aliyetupa kila kitu.