Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Dutu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Dutu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 21 Julai 2018

Tamko la Hamsini

Tamko la Hamsini

Mwenyezi Mungu alisema Makanisa yote na watakatifu wote wanapaswa kutafakari kuhusu siku zilizopita na kutumainia siku za usoni: Ni mangapi kati ya matendo yenu ya zamani ndiyo yanayostahili, na ni mangapi kati yao yalishiriki katika ujenzi wa ufalme? Usiwe mtu mwenye kujifanya kujua kila kitu! Unapaswa kuona wazi dosari zako na unafaa kuelewa hali zako mwenyewe.

Jumatano, 1 Novemba 2017

Kiini Cha Kristo ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba Wa Mbinguni

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kiini Cha Kristo ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba Wa Mbinguni

Mwenyezi Mungu alisema: Mungu mwenye mwili Anaitwa Kristo, na Kristo ni mwili uliovishwa na Roho wa Mungu. Mwili huu ni tofauti na wa mwanadamu yeyote aliye wa nyama. Tofauti hii ni kwa sababu Kristo sio wa mwili na damu bali ni mwili wa Roho. Anao ubinadamu wa kawaida na uungu kamili. Uungu Wake haujamilikiwa na mwanadamu yeyote.