Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kurudi kwa Yesu mara ya pili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kurudi kwa Yesu mara ya pili. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 8 Septemba 2017

Mwenyezi Mungu | Wewe U Mwaminifu kwa Nani?

Mwenyezi Mungu |  Wewe U Mwaminifu kwa Nani?


Kila siku unayoiishi sasa ni ya maana sana na muhimu sana kwa hatima yako na majaliwa yako, kwa hivyo unapaswa kufurahia kila ulicho nacho na kila dakika inayopita. Unapaswa kutumia muda wako vizuri ili uweze kujinufaisha, ili usije kuishi maisha haya bure. Pengine unajihisi kukanganyikiwa unaojiuliza ni kwa nini Ninazungumza maneno haya. Kwa kweli, Sijapendezwa na matendo ya yeyote kati yenu.

Jumamosi, 26 Agosti 2017

Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

  • 🎼🎵Sikiliza nyimbo:https://sw.godfootsteps.org/the-happiness-in-the-good-land-of-canaan.html
  • I
  • Nimerudi kwa familia ya Mungu,
  • mchangamfu na mwenye furaha.
  • Mikono yangu imemshika mpendwa wangu,
  • moyo wangu ni miliki Yake.
  • Japo nimepitia Bonde la Machozi,
  • nimeyaona mapenzi ya Mungu.
  • Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku,
  • Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
  • Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu,
  • moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.
  • Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha,
  • nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
  • Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu,
  • nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
  • Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha,
  • nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
  • II
  • Katika nchi hii iliyobarikiwa ya Kanaani,
  • yote ni mabichi, yote ni mapya,
  • yakifurika na nafsi ya uhai ya maisha.
  • Maji ya uzima hutiririka kutoka kwa Mungu wa vitendo,
  • hunifanya niruzukike na maisha.
  • Naweza kufurahia baraka kutoka mbinguni,
  • hakuna tena kutafuta, kuchakura, kuwa na uchu.
  • Nimewasili katika nchi iliyobarikiwa ya Kanaani,
  • furaha yangu haina kifani!
  • Upendo wangu kwa Mungu huniletea nguvu isiyoisha.
  • Sauti za kusifu hupaa juu mbinguni,
  • zikimwambia upendo wangu wa ndani.
  • Ni haiba ilioje mpendwa wangu aliyo nayo!
  • Uzuri Wake huiteka roho yangu.
  • Manukato ya mpendwa wangu
  • hunifanya nione ugumu wa kumwacha.
  • III
  • Nyota mbinguni zatabasamu kwangu,
  • jua lanikubali kutoka juu.
  • Pamoja na mwanga wa jua, na mvua na umande,
  • tunda la uzima hukua kwa uthabiti na ubivu.
  • Maneno ya Mungu, mengi na ya fahari,
  • hutuletea sikukuu tamu.
  • Riziki nzima na ya kutosha ya Mungu hutufanya tutosheke.
  • Nchi ya Kanaani, ulimwengu wa maneno ya Mungu;
  • upendo Wake hutuletea furaha isiyokoma.
  • Nchi ya Kanaani, ulimwengu wa maneno ya Mungu;
  • upendo Wake hutuletea furaha isiyokoma.
  • Harufu nzuri ya matunda hujaa hewani.
  • Ukikaa hapa kwa siku chache,
  • utapapenda kuliko chochote kingine.
  • Hakuna wakati utataka kuondoka.
  • IV
  • Mwezi wa fedha hunurisha mwanga wake.
  • Mzuri na mchangamfu, ni maisha yangu.
  • Uliye mpendwa moyoni mwangu,
  • uzuri Wako umepita maneno yote.
  • Moyo wangu u katika mapenzi matamu Nawe,
  • siwezi kujizuia kuruka kwa furaha.
  • Daima Uko moyoni mwangu,
  • nitakuwa nawe maisha yangu yote.
  • Moyo wangu hukutamani Wewe daima;
  • kukupenda Wewe hufurahisha moyo wangu kila siku.
  • Ee mpenzi moyoni mwangu!
  • Nimekupa mapenzi yangu yote.
  • Moyo wangu hukutamani Wewe daima;
  • kukupenda Wewe hufurahisha moyo wangu kila siku.
  • Ee mpenzi moyoni mwangu!
  • Nimekupa mapenzi yangu yote.
  •  
  • kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Ijumaa, 25 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Je, Wewe ni Muumini wa Kweli wa Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Je, Wewe ni Muumini wa Kweli wa Mungu?


Huenda ikawa safari yako ya imani katika Mungu imekuwa ndefu zaidi ya mwaka mmoja au miwili, na labda kwa maisha yako umestahimili ugumu mwingi miaka hii yote; au labda haujapitia ugumu na badala yake umepokea neema nyingi. Kuna uwezekano pia kuwa hujapitia ugumu wala kupokea neema, na badala yake umeishi maisha ya kawaida tu. Hiyo haijalishi, kwani wewe bado u mfuasi wa Mungu, kwa hivyo tushirikiane kuhusu mada ya kumfuata Mungu. 

Jumapili, 20 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili Ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu, Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili Ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni


Mimi hueneza kazi Yangu katika mataifa. Katika ulimwengu mzima unang’aa utukufu Wangu; mapenzi Yangu yamo katika mtawanyiko wa wanadamu, wote wakiongozwa kwa mkono Wangu na kufanya kazi Ninayosambaza. Kuanzia sasa, Ninaingia enzi mpya na kuleta watu wote katika ulimwengu mwingine. Ninaporudi katika "nchi Yangu," Ninaanza sehemu nyingine ya kazi katika mpango Wangu wa awali ili mwanadamu aje kujua zaidi kunihusu.

Jumamosi, 19 Agosti 2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mwanadamu Anaweza Kuokolewa Tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu


Kila mtu anahisi kuwa usimamizi wa Mungu ni wa ajabu, kwa sababu watu wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu hauna uhusiano wowote na mwanadamu. Wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu ni kazi ya Mungu pekee, shughuli za Mungu, na hivyo wanadamu hawajali kuhusu usimamizi wa Mungu. Kwa njia hii, kuokolewa kwa wanadamu kumekuwa kusiko yakini na kusiko dhahiri, na kumebaki tu maneno matupu.