Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Filamu-Fupi-ya-Injili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Filamu-Fupi-ya-Injili. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 27 Januari 2018

Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana


Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana

Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana

I

Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaimba nyimbo za sifa kubwa Kwako.
Wewe hutuleta katika maisha ya ufalme.
Sisi watu wa ufalme tu katika karamu yako ya fahari,
tukifurahia maneno Yako, tukitakaswa upotovu wetu.

Ijumaa, 26 Januari 2018

Christian Movie Video Swahili “Maskani Yangu Yako Wapi” | Mungu ni Kimbilio la Nafsi Yangu

Christian Movie Video Swahili “Maskani Yangu Yako Wapi” | Mungu  ni Kimbilio la Nafsi Yangu


Wazazi wa Wenya walitengana alipokuwa na umri wa miaka miwili, na baada ya hapo aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mamake wa kambo hakuweza kumvumilia na daima alikuwa akibishana na baba yake. Alikuwa na chaguo dogo — alilazimika kumpeleka Wenya nyumbani kwa mama yake, lakini mama yake alilenga kikamilifu kuendesha biashara yake na hakuwa na muda wa kumtunza Wenya, hivyo mara nyingi alipelekwa nyumbani kwa jamaa na marafiki zake kupata ulezi.

Jumatatu, 22 Januari 2018

Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen” | Mungu ni upendo

 Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen” | Mungu ni upendo


Xiaozhen alikuwa Mkristo mwenye moyo safi, ulio na huruma, ambaye kila wakati alikuwa akiwashughulikia wenzake kwa uaminifu. Hata hivyo, ilipokuwa ni kwa manufaa yao, marafiki wake wa awali waligeuka na kuwa maadui wake.

Jumapili, 21 Januari 2018

Christian Testimony Video Swahili “Katikati ya Majira ya Baridi”

   
Christian Testimony Video Swahili “Katikati ya Majira ya Baridi”

Her name is Xiao Li. She has believed in God for more than a decade. In the winter of 2012, she was arrested by the Chinese Communist police at a congregation. During interrogation, the police repeatedly coaxed, threatened, battered and tortured her in their attempts to seduce her to betray God by disclosing the whereabouts of the leaders and money of the church.

Jumamosi, 20 Januari 2018

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

Ijumaa, 19 Januari 2018

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: KUFICHA UHALIFU (Christian Videos) swahili

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: KUFICHA UHALIFU (Christian Videos) swahili

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

Alhamisi, 18 Januari 2018

Muujiza katika Msiba | Video ya Injili “Mungu Abariki”

Muujiza katika Msiba | Video ya InjiliMungu Abariki”

Watu mara nyingi husema kwamba "Dhoruba hukusanyika bila tahadhari na balaa huwafika watu kwa ghafula sana." Katika enzi yetu iliyopo ya kupanua kwa haraka kwa sayansi, uchukuzi wa kisasa na utajiri wa mali, maafa yanayotokea pande zote zinazotuzunguka huongeza kila siku.

Jumamosi, 13 Januari 2018

Safina ya Siku za Mwisho | “Siku za Nuhu Zimekuja” Swahili Gospel Video


Safina ya Siku za Mwisho | “Siku za Nuhu Zimekuja” Swahili Gospel VideoUmeme wa Mashariki

Hebu tumwangalie mwanadamu wakati wa enzi ya Nuhu. Mtu alishiriki katika kila aina ya utendaji wa maovu akikosa kufikiria toba. Hakuna aliyesikiliza neno la Mungu. Ugumu na uovu wao uliamsha hasira ya Mungu na mwishoni, walimezwa na maafa ya mafuriko makuu. Nuhu na familia yake ya watu nane pekee ndio walisikiliza neno la Mungu na walikuwa na uwezo wa kuishi. Sasa, siku za mwisho zimeshafika. Upotovu wa mwanadamu unakuwa mwingi zaidi na zaidi. Kila mtu huyatukuza mabaya. Dunia nzima ya dini hufuata wimbi la ulimwengu.