Jumapili, 21 Januari 2018

Christian Testimony Video Swahili “Katikati ya Majira ya Baridi”

   
Christian Testimony Video Swahili “Katikati ya Majira ya Baridi”

Her name is Xiao Li. She has believed in God for more than a decade. In the winter of 2012, she was arrested by the Chinese Communist police at a congregation. During interrogation, the police repeatedly coaxed, threatened, battered and tortured her in their attempts to seduce her to betray God by disclosing the whereabouts of the leaders and money of the church.

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (3) | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu
Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (3) | Umeme wa Mashariki

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (3)Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Matokeo ya kutimizwa kutoka kwa kazi ya kushinda kimsingi ni kwa ajili ya mwili wa mwanadamu kuacha kuasi, yaani, ili fikira za mwanadamu zipate ufahamu mpya wa Mungu, moyo wake umtii Mungu kabisa, na aamue kuwa wa Mungu. Jinsi ambavyo mwenendo wa mtu ama mwili wake unavyobadilika haiamui ikiwa ameshindwa.

Jumamosi, 20 Januari 2018

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (1) | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu
Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (1) | Umeme wa Mashariki 

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (1)Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Wanadamu kwa kupotoshwa sana na Shetani, hawajui kuwa kuna Mungu na wameacha kumwabudu Mungu. Adamu na Hawa walipoumbwa mwanzoni, utukufu wa Yehova na Ushuhuda wa Yehova daima vilikuwepo. Lakini baada ya kupotoshwa, mwanadamu alipoteza utukufu na ushuhuda kwa sababu kila mtu alimwasi Mungu na kuacha kumtukuza kabisa.

Ijumaa, 19 Januari 2018

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: KUFICHA UHALIFU (Christian Videos) swahili

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: KUFICHA UHALIFU (Christian Videos) swahili

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (2) | Umeme wa Mashariki

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (2) | Umeme wa Mashariki


Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (2)Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Mlikuwa mnatafuta kutawala kama wafalme, na leo bado hamjaacha kabisa suala hili; bado mnatamani kutawala kama wafalme, kushikilia mbingu na kuhimili dunia. Sasa, fikiria kuhusu hilo: Je, unazo sifa kama hizo? Je, huoni unakuwa mtu mpumbavu? Je, mnachokitafuta na kujitolea umakini wenu kwacho ni cha uhalisi?

Alhamisi, 18 Januari 2018

Muujiza katika Msiba | Video ya Injili “Mungu Abariki”

Muujiza katika Msiba | Video ya InjiliMungu Abariki”

Watu mara nyingi husema kwamba "Dhoruba hukusanyika bila tahadhari na balaa huwafika watu kwa ghafula sana." Katika enzi yetu iliyopo ya kupanua kwa haraka kwa sayansi, uchukuzi wa kisasa na utajiri wa mali, maafa yanayotokea pande zote zinazotuzunguka huongeza kila siku.