Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kikristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kikristo. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 15 Januari 2018

Kuelezea Wazi Uhusiano Kati ya Biblia na Mungu | “Biblia na Mungu” ( Video za Kikristo ) Swahili

Kuelezea Wazi Uhusiano Kati ya Biblia na Mungu | “Biblia na Mungu” ( Video za Kikristo ) Swahili

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.” Moyoni mwake, Biblia ni kuu. Kwa sababu ya upendo na imani yake pofu katika Biblia,

Jumatano, 27 Desemba 2017

Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini | Umeme wa Mashariki


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu
Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini | Umeme wa Mashariki

Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini|Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Ni kitu gani ambacho mwanadamu amepokea tangu alipomwamini Mungu mara ya kwanza? Umejua kitu gani kumhusu Mungu? Umebadilika kiasi gani kwa sababu ya imani yako kwa Mungu? Sasa mnajua nyote ya kwamba imani ya mwanadamu katika Mungu si kwa ajili ya wokovu wa roho na ustawi wa mwili tu, wala si kuimarisha maisha yake kwa njia ya upendo wa Mungu, na kadhalika.