Alhamisi, 28 Desemba 2017

Watiifu wa Kweli Hakika Watakubaliwa na Mungu | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mungu
Watiifu wa Kweli Hakika Watakubaliwa na Mungu | Umeme wa Mashariki

Watiifu wa Kweli Hakika Watakubaliwa na Mungu | Umeme wa Mashariki

Mwenyezi Mungu alisema,  Kazi ya Roho Mtakatifu inabadilika kutoka siku hadi siku, ikipanda juu kwa kila hatua; ufunuo wa kesho unakuwa hata juu kuliko wa leo, hatua kwa hatua ukikwea hata juu zaidi. Hii ndiyo kazi anayotumia Mungu kumkamilisha mwanadamu. Iwapo mwanadamu hawezi kwenda sambamba, basi anaweza kuachwa wakati wowote. Kama mwanadamu hana moyo wa kutii, basi hawezi kufuata hadi mwisho.

Jumatano, 27 Desemba 2017

Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini | Umeme wa Mashariki


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu
Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini | Umeme wa Mashariki

Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini|Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Ni kitu gani ambacho mwanadamu amepokea tangu alipomwamini Mungu mara ya kwanza? Umejua kitu gani kumhusu Mungu? Umebadilika kiasi gani kwa sababu ya imani yako kwa Mungu? Sasa mnajua nyote ya kwamba imani ya mwanadamu katika Mungu si kwa ajili ya wokovu wa roho na ustawi wa mwili tu, wala si kuimarisha maisha yake kwa njia ya upendo wa Mungu, na kadhalika.

kweli Kuhusu Kazi Katika Enzi ya Ukombozi | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Yesu
kweli Kuhusu Kazi Katika Enzi ya Ukombozi | Umeme wa Mashariki

Kazi Katika Enzi ya Sheria|Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Mpango Wangu mzima wa usimamizi, ambao una urefu wa miaka elfu sita, unashirikisha awamu tatu, au enzi tatu: Kwanza, Enzi ya Sheria; pili, Enzi ya Neema (ambayo pia ni enzi ya Ukombozi); na mwisho, Enzi ya Ufalme. Kazi Yangu katika enzi hizi tatu hutofautiana kulingana na asili ya kila enzi, lakini katika kila hatua huambatana na mahitaji ya mwanadamu-au, inatofautiana kulingana na ujanja ambao Shetani anatumia katika vita Vyangu dhidi yake.

Jumanne, 26 Desemba 2017

Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe” | Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, ukombozi
Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe” | Umeme wa Mashariki

Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe”|Umeme wa Mashariki

Mwenyezi Mungu alisema, Kwa maelfu kadhaa ya miaka, mwanadamu ametamani kuweza kushuhudia kufika kwa Mwokozi. Mwanadamu ametamani kumtazama Yesu Mwokozi katika wingu jeupe Anaposhuka, yeye binafsi, kati ya wale ambao wamengoja na kumtamani kwa maelfu ya miaka. Mwanadamu ametamani Mwokozi arejee na kuungana na watu, yaani, ili Yesu Mwokozi Arudi kwa watu ambao wamekuwa mbali Naye kwa maelfu ya miaka.

Jumatatu, 25 Desemba 2017

Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu


Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu
Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu | Umeme wa Mashariki

Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu


Mwenyezi Mungu alisema, Mungu huzungumza maneno Yake na kufanya kazi Yake kulingana na enzi tofauti, na katika enzi tofauti, Anazungumza maneno tofauti. Mungu hafuati sheria, ama kurudia kazi ya awali, ama kuhisi hali ya kumbukumbu kwa vitu vilivyopita; ni Mungu ambaye ni mpya kila wakati na hazeeki, na kila siku anazungumza maneno mapya. Lazima uyafuate yale ambayo lazima yafuatwe leo; haya ni majukumu na kazi ya mwanadamu.

Jumapili, 24 Desemba 2017

Kazi Katika Enzi ya Sheria | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Kazi Katika Enzi ya Sheria | Umeme wa Mashariki

Kazi Katika Enzi ya Sheria|Umeme wa Mashariki


Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ambayo Yehova alifanya kwa Waisraeli ilianzisha mahali pa Mungu pa asili miongoni mwa binadamu, ambapo pia palikuwa pahali patakatifu ambapo Alikuwapo. Aliwekea kazi Yake mipaka kwa watu wa Israeli. Mwanzoni, Hakufanya kazi nje ya Israeli; badala yake, Aliwachagua watu Aliowaona kuwa wa kufaa ili kuzuia eneo la kazi Yake. Israeli ni mahali ambapo Mungu aliwaumba Adamu na Hawa, na kutoka katika mavumbi ya mahali hapo Yehova alimuumba mwanadamu;

Jumamosi, 23 Desemba 2017

Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,  Yesu
Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu | Umeme wa Mashariki

Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu|Umeme wa Mashariki

Mwenyezi Mungu alisema, Katika kipindi kile ambacho Petro alikuwa na Yesu, aliona sifa nyingi za kupendeza ndani ya Yesu, hali nyingi zenye za kustahili kuigwa, na nyingi ambazo zilimkimu. Ingawa Petro aliona nafsi ya Mungu ndani ya Yesu katika njia nyingi, na kuona sifa nyingi za kupendeza, mara ya kwanza hakumjua Yesu. Petro alianza kumfuata Yesu alipokuwa na umri wa miaka 20, na akaendelea kufanya hivyo kwa miaka sita. Katika kipindi hiki cha muda, hakuwahi kupata kumjua Yesu, lakini alikuwa radhi kumfuata kutokana na kuvutiwa na Yeye tu.