Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-z-mwisho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-z-mwisho. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 4 Novemba 2018

1. Bwana Yesu Mwenyewe alitabiri ya kwamba Mungu angepata mwili katika siku za mwisho na kuonekana kama Mwana wa Adamu ili kufanya kazi.


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki 
I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu 
Kupata Mwili kwa Mungu

1. Bwana Yesu Mwenyewe alitabiri ya kwamba Mungu angepata mwili katika siku za mwisho na kuonekana kama Mwana wa Adamu ili kufanya kazi.

Aya za Biblia za Kurejelea:
"Na ninyi pia muwe tayari: maana katika saa kama hii msiyofikiria kuwa Mwana wa Adamu atakuja" (LK. 12:40).