Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ukweli ni-nini. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ukweli ni-nini. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 16 Juni 2019

2. Matokeo yatakuwa gani kama mtu anamwamini Mungu kwa kutegemea maarifa ya teolojia katika Biblia?

XVII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Jinsi ya Kutambua Kati ya Uhalisi wa Ukweli na Maarifa ya Biblia na Mafundisho
2. Matokeo yatakuwa gani kama mtu anamwamini Mungu kwa kutegemea maarifa ya teolojia katika Biblia?
Aya za Biblia za Kurejelea:

“Watu hawa wananikaribia kwa vinywa vyao, na wananiheshimu kwa midomo yao; lakini moyo wao uko mbali nami. Lakini wananiabudu bure, wakifunza mafundisho ya dini ambayo ni amri za wanadamu” (Mathayo 15:8-9).

“Kwa sababu andiko huua, lakini roho hupeana maisha” (2 Wakorintho 3:6).