Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maneno-ya Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maneno-ya Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 22 Juni 2019

5. Matokeo ya mtu anayemwamini Mungu katika dini na ambaye hupitia mchafuko na udhibiti wa Mafarisayo na wapinga Kristo ni yapi? Mtu anaweza kuokolewa na Mungu kama anamwamini Mungu kwa njia hii?

XV. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Jinsi ya Kutambua Asili ya Mafarisayo na ya Ulimwengu wa kidini ambao Humkana Mungu
5. Matokeo ya mtu anayemwamini Mungu katika dini na ambaye hupitia mchafuko na udhibiti wa Mafarisayo na wapinga Kristo ni yapi? Mtu anaweza kuokolewa na Mungu kama anamwamini Mungu kwa njia hii?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Wao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwelekeza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo”
(Mathayo 15:14).
“Kwa kuwa viongozi wa watu hawa wanawafanya wapotoke; nao wanaoongozwa na hao watu wameangamizwa” (Isaya 9:16).