Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kurudi kwa-Bwana-Yesu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kurudi kwa-Bwana-Yesu. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 27 Juni 2019

1. Kwa nini Bwana Yesu aliwalaani Mafarisayo? Ni nini hasa asili ya Mafarisayo?

XV. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Jinsi ya Kutambua Asili ya Mafarisayo na ya Ulimwengu wa kidini ambao Humkana Mungu
1. Kwa nini Bwana Yesu aliwalaani Mafarisayo? Ni nini hasa asili ya Mafarisayo?
Aya za Biblia za Kurejelea:

“Kwa nini nyinyi pia mnavunja amri ya Mungu kwa utamaduni wenu? Kwani Mungu aliamuru, Akisema, Mwonyeshe babako na mamako heshima: na, Yule anayemlaani baba au mama yake, na afe hicho kifo. Lakini mnasema, Yeyote ambaye atamwambia baba au mama yake, ni zawadi, chochote ambacho ungefaidi kupitia mimi;Na asimwonyeshe baba yake au mama yake heshima, atakuwa huru. Hivyo hamjaibatilisha amri ya Mungu kwa utamaduni wenu. Nyinyi wanafiki, Isaya alitabiri vyema kuwahusu, akisema, Watu hawa wananikaribia kwa vinywa vyao, na wananiheshimu kwa midomo yao; lakini moyo wao uko mbali nami. Lakini wananiabudu bure, wakifunza mafundisho ya dini ambayo ni amri za wanadamu” (Mathayo 15:3-9).