Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Jinsi-Nilivyomgeukia-Mwenyezi-Mungu-Tena. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Jinsi-Nilivyomgeukia-Mwenyezi-Mungu-Tena. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 7 Mei 2019

Kupenya Ukungu ili Kuona Mwanga

Faith China

Mimi ni mfanyakazi wa kawaida. Mwishoni mwa Novemba, 2013, mfanyakazi mwenza aliona kwamba mke wangu na mimi tungefanya kelele nyingi sana juu ya vitu vidogo, kwamba kila siku tulikuwa na wasiwasi na huzuni, hivyo alipitisha kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku mwisho kwetu. Kutoka kwa neno la Mwenyezi Mungu, tumejifunza kwamba mbingu na dunia na vitu vyote viliumbwa na Mungu, na kwamba uhai wa mtu amekirimiwa na Mungu.

Jumamosi, 23 Juni 2018

Baraka Kwa Sababu ya Ugonjwa —Insha Juu ya Upendo wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumuBaraka Kwa Sababu ya Ugonjwa —Insha Juu ya Upendo wa Mungu
Dujuan Japani
Nilizaliwa katika familia fukara katika kijiji cha mashambani. Tangu niwe mtoto, niliishi maisha magumu na nilidharauliwa na wengine. Wakati mwingine sikujua hata kama ningepata chakula changu cha kufuatia, sembuse kumbwe na vitu vya watoto kuchezea. Kwa kuwa familia yangu ilikuwa fukara, nilipokuwa mdogo, ningevaa nguo zilizokuwa zikivaliwa na dadangu mkubwa awali.

Jumapili, 17 Juni 2018

Kutembea Katika Njia Ng’avu ya Maisha

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu, Umeme wa Mashariki

Kutembea Katika Njia Ng’avu ya Maisha

Xie Li, Marekani
Zamani nilikuwa mtu ambaye angefuata mitindo ya dunia, nilitaka kujiachilia kwa maisha yaanasa, na nilijali tu kuhusu anasa za mwili. Mara nyingi ningeenda na rafiki zangu kwa KTV usiku mzima, ningeenda matembezi kwa motokaa katikati ya usiku, ningeenda kuvua samaki katika bahari, na kusafiri pande zote nikitafuta vyakula vizuri.