Ijumaa, 15 Septemba 2017

Upendo wa Mungu Huushinda Moyo wa Mwanadamu | “Wimbo wa Kifuasi cha Dhati” (Video Rasmi ya Muziki)



Upendo wa Mungu Huushinda Moyo wa Mwanadamu | "Wimbo wa Kifuasi cha Dhati" Video Rasmi ya Muzik


Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili.
Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli.
Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana.
Hekima Yake, Uadilifu Wake, nayapenda yote.
Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli.
Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili.
Hekima Yake, uadilifu Wake, nayapenda yote.


Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana.
Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe.
Nampenda, najihisi mtamu, teseka kwa ajili Yake.
Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu.
Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.
Nafsi yangu nzima kuishi kwa ajili Yake, haya ni maisha yangu.
Moyo wangu, Alioupewa, nahisi furaha.
Kumpenda, kumtumikia, heshima kubwa kwangu.
Ni mapenzi yangu kumpendeza na kumtosheleza Mungu.
Moyo wangu hautaki kingine chochote, nimetosheka.
Yajali mapenzi Yake, fikra zake, na mahangaiko Yake.
Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe.
Mimi huhudumu katika nyumba ya Mungu, nikitimiza wajibu.
Humtii, kuwa mwaminifu kwake, na kujitolea.
Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Nampenda, najihisi mtamu, nateseka kwa ajili Yake.
Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni