Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hukumu-mbele-ya-kiti-cha-Kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hukumu-mbele-ya-kiti-cha-Kristo. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 13 Desemba 2018

Tamko la Arubaini

Tamko la Arubaini

Mwenyezi Mungu alisema, Kwa nini ninyi ni wa mwendo wa polepole? Kwa nini hamsikii? Makumbusho kadhaa hayajawazindua; hili linanihuzunisha. Kwa kweli Sipendi kuwaona wanangu namna hii. Moyo Wangu unawezaje kustahimili hili? Ah! Lazima Niwafundishe kwa mkono Wangu mwenyewe. Mwendo Wangu unaendelea kuwa wa kasi. Wanangu! Inukeni haraka na mshirikiane na Mimi. Nani wanajitumia kwa dhati kwa ajili Yangu sasa? Ni nani anayeweza kujitolea kikamilifu bila malalamiko hata kidogo?