Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo familia-za-Kikristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo familia-za-Kikristo. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 8 Agosti 2018

"Fichua Siri Kuhusu Biblia" (6) - Je, Bado Tunaweza Kupata Uzima Tukiondoka Kwa Biblia?


"Fichua Siri Kuhusu Biblia" (6) - Je, Bado Tunaweza Kupata Uzima Tukiondoka Kwa Biblia?

    Mara kwa mara wachungaji na wazee huwafundisha watu kuwa hawawezi kuitwa waumini wakiondoka kwenye Biblia, na kwamba kwa kushikilia Biblia pekee ndiyo wanaweza kupata uzima na kuingia katika ufalme wa mbinguni. Kwa hivyo, je, kweli hatuwezi kupata uzima tukiondoka kwenye Biblia? Je, ni Biblia ambayo inaweza kutupa uzima, au ni Mungu ambaye anaweza kutupa uzima?