Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mbele-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mbele-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 19 Machi 2019

Kwanza Matamko ya Kristo Mwanzoni | Sura ya 104

Kwanza Matamko ya Kristo Mwanzoni | Sura ya 104

Mwenyezi Mungu alisema, Watu, matukio na vitu vyote nje Yangu vitakufa na kuwakatika hali ya kutokuwepo, ilhali watu, matukio na vitu vyote vilivyo ndani Yangu vitapata kila kitu kutoka Kwangu na kuingia katika utukufu pamoja na Mimi, kuingia katika Mlima Wangu Sayuni, makazi Yangu, na kuishi pamoja kwa amani nami milele. Niliumba vitu vyote mwanzoni na Nitamaliza kazi Yangu mwishowe, na pia Nitatawala milele kama Mfalme. Katikati, pia Ninaongoza na kuutawala ulimwengu mzima.