Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maswali-na-Majibu-Mia-Moja-Kuhusu Kuichunguza-Njia-ya-Kweli. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maswali-na-Majibu-Mia-Moja-Kuhusu Kuichunguza-Njia-ya-Kweli. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 6 Aprili 2018

Umeme wa Mashariki | 12. Wakati wa Uzoefu Mmoja Niliona Ulinzi wa Mungu


Yongxin, Jiji la Yibin, Mkoa wa Sichuan
Hatukuwahi kumwamini Mungu kabla. Mnamo mwaka wa 2005, tukitiwa moyo na Mungu, mume wangu, baba mkwe wangu, mjomba wangu, na mimi wote tuliikubali kazi ya Mungu ya siku za mwisho. Baada ya muda mfupi, kanisa lilinipangia kufanya wajibu wa kuhifadhi vitabu.

Jumanne, 6 Februari 2018

Umeme wa Mashariki | 5. Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo

Umeme wa Mashariki , Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu
Umeme wa Mashariki | 5. Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo
Umeme wa Mashariki | 5. Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo

Fang Xin, Beijing
Agosti 15, mwaka wa 2012
Tangu mwaka wa 2007, nilipoikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, ingawa nimeonekana juu juu kuwa na kazi nyingi sana kutekeleza majukumu yangu, sijaupa moyo wangu kwa Mungu, na mara nyingi nimehisi kufungwa kiasi cha msongo wa pumzi na masuala madogo ya familia. Kila wakati ninapowaza kuhusu ukweli kwamba binti yangu tayari ana umri wa miaka thelathini, na angali bado hajapata mwenzi wa kufaa, mimi hulalamika kwa Mungu