Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maneno-Bora-zaidi-ya-Mungu-Kuhusu-Injili-ya-Ufalme-(Chaguzi). Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maneno-Bora-zaidi-ya-Mungu-Kuhusu-Injili-ya-Ufalme-(Chaguzi). Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 17 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote


Umeme wa Mashariki | Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote


Mwenyezi Mungu alisema, Hatua moja ya kazi ya enzi mbili za awali ilifanyika Israeli; nyingine ilifanyika Uyahudi. Kuzungumza kwa jumla, hakuna hatua ya kazi hii iliyotoka Israeli; zilikuwa ni hatua za kazi zilizofanywa miongoni mwa wateule wa mwanzo. Hivyo, kwa mtazamo wa Wanaisraeli, Yehova Mungu ni Mungu wa Wanaisraeli pekee. Kwa sababu ya kazi ya Yesu huko Uyahudi, na kwa sababu ya kukamilisha Kwake kwa kazi ya kusulubiwa, kwa mtazamo wa Wayahudi, Yesu ni Mkombozi wa watu wa Kiyahudi.