Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mungu-ni. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mungu-ni. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 29 Juni 2019

1. Kwa nini Bwana Yesu aliwalaani Mafarisayo? Ni nini hasa asili ya Mafarisayo?

XIV. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Tofauti Kati ya Kanisa la Mungu na Mashirika ya Kidini
1. Kanisa la Mungu ni nini? Shirika la kidini ni nini?
Aya za Biblia za Kurejelea:

Kanisa … ni mwili Wake, ukamilifu wa Yeye anayekamilisha yote katika yote” (Waefeso 1:22-23).

“Na Yesu akaingia katika hekalu la Mungu, naye akawaondoa wote waliokuwa wakiuza na kununua katika hekalu, naye akaziangusha meza za wabadilishaji wa fedha, na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa, Na akawaambia, imeandikwa, nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi; lakini mmeifanya pango la wezi” (Mathayo 21:12-13).