Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Enzi-ya-Ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Enzi-ya-Ufalme. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 25 Desemba 2018

Sura ya 8

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Sura ya 8

Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa Roho, sauti Yake huelekezwa kwa wanadamu wote. Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa mwanadamu, sauti Yake huelekezwa kwa wote wafuatao uongozi wa Roho Wake. Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa nafsi ya tatu (kile ambacho watu hutaja kama mtazamaji), Anaonyesha neno Lake moja kwa moja kwa watu ili watu wamwone kama mtoa maoni,