Jumatatu, 27 Novemba 2017

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”


Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada "Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki"


Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale,
na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki.
Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga
ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga,
wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.
Mungu atawaacha wote wanaotafuta kuuona mwanga tena
na utukufu Aliokuwa nao katika Israeli,
kuona kwamba Mungu tayari ameshuka chini juu ya wingu jeupe miongoni mwa watu,
na kuona mawingu mengi meupe, na kuona vishada vya matunda,
kumwona Yehova Mungu wa Israeli, Mungu wa Israeli,
kumwona Mkuu wa Wayahudi, kumwona Masihi Aliyengojewa,
na kuonekana kamili kwa Yeye aliyeteswa na wafalme katika enzi zote.
Mungu atafanya kazi ya ulimwengu mzima na kufanya kazi kubwa,
akifichua utukufu Wake wote na matendo Yake yote kwa mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo

Mungu ataonyesha uso Wake uliojaa utukufu
kwa wale ambao wamemngoja Yeye kwa miaka mingi,
kwa wale ambao wametamani kumuona Yeye akija juu ya wingu jeupe,
kwa Israeli ambayo imemngoja Aonekane kwa mara nyingine tena,
kwa watu wote wanaomtesa Mungu.
Ili wote wajue kwamba Mungu kwa muda mrefu uliopita Ameuchukua utukufu Wake
na kuuleta katika Mashariki.
Hauko katika Uyahudi, kwa maana siku za mwisho tayari zimewadia!
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Yaliyopendekezwa:  Kujua Kanisa la Mwenyezi Mungu 
                              Umeme wa Mashariki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni